AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Chid namchukulia kama mgonjwa, mwathirika yeyote ni
mgonjwa na ndio maana kuna rehab/soba house kwahiyo
yule ni mgonjwa na ninamchukulia kama mgonjwa kwahiyo
tumuombee mungu atakapoweza kupona tumpe na ushauri
pia asikae na watu ambao wanamletea au watu wanaotumia
pamoja nae ili tumpate ChidBenz ambaye sisi tunamuhitaji"
alisikika @princedullysykes kwenye XXL wakati akitambulisha
wimbo wake mpya #yono
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK