Maneno ya Dully Skykes Juu ya Hali ya Chid Benz Kwa Sasa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



"Chid namchukulia kama mgonjwa, mwathirika yeyote ni
mgonjwa na ndio maana kuna rehab/soba house kwahiyo
yule ni mgonjwa na ninamchukulia kama mgonjwa kwahiyo
tumuombee mungu atakapoweza kupona tumpe na ushauri
pia asikae na watu ambao wanamletea au watu wanaotumia
pamoja nae ili tumpate ChidBenz ambaye sisi tunamuhitaji"
alisikika @princedullysykes kwenye XXL wakati akitambulisha
wimbo wake mpya #yono
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad