HUKUMU ya Kesi ya Sheria ya Makosa ya Mtandao iliyofunguliwa na Jamii Media Yashindikana Kusomwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Hukumu ya Kesi ya Sheria ya Makosa ya Mtandao iliyofunguliwa na Jamii Media yashindikana kusomwa. Sababu za msingi hazijaelezwa.

Jaji Koroso ambaye pia alikuwa akisimamia kesi hiyo amehamishiwa katika Mahakama ya Ufisadi.

Aidha mpaka sasa haijajulikana ni lini Kesi hii iliyofunguliwa tarehe 4 mwezi Machi mwaka jana itatolewa hukumu.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad