VIDEO: Irene Uwoya Aongea Kwanini Hakupost Chochote Baada ya Wema Sepetu Kukamatwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kwenye hii Exclusive Interview Mwigizaji staa wa Tanzania Irene Uwoya amekaa na Mtangazaji Millard Ayo na kuelezea ishu mbalimbali ikiwemo kwanini hakupost chochote baada ya Mwigizaji mwenzake Wema Sepetu aliposhikiliwa kwa tuhuma za dawa za kulevya.

Pamoja na hayo, Irene amezungumzia ishu mbalimbali za ndoa yake iliyovunjika pamoja na ishu mbalimbali za maisha yake, bonyeza play kwenye hii video hapa chini:

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ilove you lakini sina sura ya kutisha.

    ReplyDelete

Top Post Ad