Kalianzisha Tena..Lema Achochea Vyama vya Upinzani Kufanya Haya Dhidi ya Utawala wa Rais Magufuli...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema amekuja na staili mpya katika ulingo wa kisiasa mara hii akihimiza ushirikiano wa wapinzani kudai utawala bora.

Lema amesema hayo wakati akizungumza kwenye mkutano wa kumbizi ya miaka 50 ya Azimio la Arusha mjini hapa, akisema huu ni wakati wa vyama vya upinzani kushirikiana.

Lema alisema amehudhuria mkutano huo kutokana na kampeni ya ushirikiano wa vyama vyote vya upinzani waliokubaliana kupinga mwenendo wa Serikali.

 “Mkiwa na mkutano semeni niwaalike na wanachama wa Chadema waje wawape ushirikiano, lengo letu ni kuhakikisha haki inatendeka bila matabaka ya walionacho na wasionacho wala makabila,” amesema.

Katika mkutano huo, Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amezungumzia ukwepaji kodi unaofanywa na wafanyabiashara wakubwa na kusema kuna idadi kubwa ya kampuni za uwekezaji ambazo zinafanya hivyo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Huyu nae anadhani siku moja atakuwa kuwa mtu firani katika Taifa hili, anaota ndoto za mchana mchana.

    ReplyDelete

Top Post Ad