Mambo 6 Muhimu Unayotakiwa Kuyafanya Katika Weekend Yako..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ikiwa tunaelekea kwenye wekeend yaani Jumamosi na Jumapili ambapo watu wengi hupata nafasi ya kupumzika na kufanya mambo yao binafsi. 

Wapo ambao hutumia siku za weekend kwa kutulia nyumbani tu, huku wakijiandaa na kujipanga vyema ili kuanza wiki ijayo vizuri. 

Siku kama ya kesho yaani Jumamosi itapendeza kama ukiitumi kwa kukamirisha kazi zako muhimu hasa zile za nyumbani. 

1. Tumia weekend yako kufanya usafi kwa ujumla

Inawezekekana ikawa ni usafi wa kufua nguo, kusafisha nyumba, vyombo pamoja na kufagia, ni vyema ukajitahidi siku za weekend ukawa unafanya usafi wa kutosha na wakuridhisha kabisa kwasababu mara nyingi katikati ya wiki huwa ni ngumu kupata muda wa kuyafanya hayo tena.

2. Tumia weekend yako pia kukamirisha zile kazi zako ambazo ulishindwa kuzikamirisha katikati ya wiki. 

3. Ikiwa mambo yako yote muhimu na ya lazima uliyakamirisha katikati ya wiki na yote yapo sawa, basi weekend yako itumie kwa kufanya mambo mapya unayopendelea kufanya au kujifunza. Mfano kupika, kuogelea n.k

4. Kwa wanafunzi wao  ni vyema wakatumia wikeend zao kumalizia kazi za shuleni kama ni homework / assignments.

5. Pia hakikisha unatumia weekend yako kwa kupanga ratiba yako yote utakayofanya juma lijalo. Panga kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa utafanya nini, huku ukizingatia muda maalum wa kufanya mambo hayo.

6. Ukiwa na nafasi pia unaweza kuwakumbuka watu wako wa karibu kama ndugu, jamaa na marafiki kwa kuwatembelea au kuwasiliana nao. Weekend hii kama una nafasi waoneshe ndugu, jamaa na marafiki kuwa unawajali na kuwapenda kwa kuwatembelea au hata kuwatumia salamu kwa njia ya SMS na kuwapigia simu.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad