AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Habari njema kutoka kwa hitmaker wa Kwetu, Raymond. Staa huyo na mpenzi wake, Fahyma wamebahatika kupata mtoto.
Taarifa za kupata mtoto zimetolewa na Rayvanny kupitia Instagram.
“Hongera @fahyma_ Umekua Mama sasa Acha utoto NAKUPENDA!!,” ameandika msanii huyo wa WCB.
Tunawapongeza wawili hao kwa hatua hiyo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK