Rayvanny na mpenzi Wake Fahyma Wapata Mtoto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Habari njema kutoka kwa hitmaker wa Kwetu, Raymond. Staa huyo na mpenzi wake, Fahyma wamebahatika kupata mtoto.


Taarifa za kupata mtoto zimetolewa na Rayvanny kupitia Instagram.


“Hongera @fahyma_ Umekua Mama sasa Acha utoto NAKUPENDA!!,” ameandika msanii huyo wa WCB.

Tunawapongeza wawili hao kwa hatua hiyo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad