Ukweli Mchungu...Nidhamu ikizidi Inakuwa Uoga. Na Uoga ni Sumu Katika Maisha ya Binadamu Yeyote..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nidhamu ikizidi inakuwa Uoga. Na uoga ni sumu katika maisha ya binadamu yeyote.

Kuna kitu katika sakata hili la North Korea na America, linapaswa kuwa funzo katika dunia hii ya leo.... :

1.Nidhamu ya uoga ni adui namba moja katika maisha yako.
2.Ukitaka kupigana na adui usiangalie nyuma bali mtazame usoni.
3.Njama ikizidi Vita itakuwepo, haiepukiki.
4.Adui akizidisha mashambulizi tafuta njia ya kujihami.

Huyu ndie Rais wa Korea Kaskazini mwenye umri mdogo lakini ana jeuri kuliko kiongozi yeyote duniani.Msimamo wake usiotetereka umemfanya Trump aombe suluhu, mimi binafsi vita siipendi ila mpaka hapa katoa somo.

Trump kumbe alitaka ku attack psychologically akiamini dogo ataweka silaha chini kinyume chake mambo yamekuwa mambo ameambiwa ajaribu aone mziki wake. Trump kaufyata mkia wa mbele.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad