ZIMBABWE: Mtoto Aliyeamua Kumuoa Mama Yake Amuacha Baada ya Kuambiwa Mama Yake Amemlisha Limbwata..!!!..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kijana mmoja nchini Zimbabwe kwa jina la Farai aliefunga ndoa na mama yake mzazi, ameamua kuachana nae baada ya kugundua mama yake huyo (mke) kutumia nguvu za giza na kwenye chakula hili kijana wake avutike na penzi la mama yake mzazi.

Kijana huyo anasema mama yake (mke) alikuwa hataki mwanawe (mume) ale chakula sehemu nyingine yoyote zaidi ya chakula cha nyumbani kwao, sasa hapo kwa mujibu ya Farai ndio alikuwa anamnyunyuzia limbwata au ndumba, kijana huyo akaenda Afrika ya Kusini kwa Pastor Mbolo akamuombea.

Baada ya kuombewa na Pastor Mbolo bwana mdogo Farai akaanguka chini akiwa amefumba macho na kutapika vitu visivyoeleweka vikidhaniwa ni limbwata alilokuwa anawekewa kwenye chakula na mama yake mzazi.

Ndugu Farai hataki tena kumuona mama yake (mke) na simu amekata mawasiliano nae na yeye mwenyewe anashangaa kumuoa mama yake mzazi wakati ikiwa wasichana wa umri wake wapo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad