IMEFICHUKAA..Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Aaanika Kila Kitu Kuhusu Kujiuzulu kwa Said Meck Sadiki..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Stephen Mashishanga amesema mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro aliyejihuzulu, Saidi Meck Sadiki amesoma upepo na kuona hawezi kuendana na  kasi iliyopo.

"Hoja ya umri mkubwa haina mashiko sana kwani wapo viongozi wenye umri mkubwa kuliko wake ambao ama waliendelea au wanaendelea kulitumikia taifa," amesema.

Mashishanga in mmoja wa wanahisa wa Benki ya CRDB anayehudhuria mkutano mkuu wa 22 unaoendelea Jiji Arusha.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. kama kasema ivo uyo jamaa anatafta kiki tu nayeye baada yakuona wakuu wamikoa wawili tu ndio wajulikana, makonda na gambo, nayeye anajitaftia umaarufu kwa said meck sadik

    ReplyDelete

Top Post Ad