Zitto Kabwe 'Kwa Hili Sisi ni Matajiri Kuliko Afrika Kusini na Ghana'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

"Mwaka 2016, Afrika Kusini ilizalisha tani 140 za dhahabu na Ghana tani 90 hivyo kuongoza Afrika. Kwa Taarifa ya Prof. Mruma, Tanzania huzalisha tani 112  za dhahabu kutoka kwenye makanikia yaliyokutwa kwenye makontena ya migodi 2 tu ya Buzwagi na Bulyanhulu. Ukiongeza uzalishaji wa migodi ya North Mara na Geita, Tanzania inakuwa mzalishaji mkuu wa dhahabu Afrika nzima.


Sisi ni matajiri Sana. Tunapaswa kuwa Donor Country LoL"- Ameeleza Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa Facebook leo Mei 25.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad