AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Za Motomoto News, Baby Madaha alisema huwa anakwenda kwao kila mwaka na hivi sasa yupo huko kwa ajili ya kuwaona wazee wa kimila kwani huwa wanamsaidia, hasa pale mambo yanapokuwa magumu.
“Bila wazee mambo hayaendi kabisa, niko kwetu Mwanza kwa ajili ya kufanya mambo ya kimila ili walau mambo yaende vizuri mjini maana hali imekuwa mbaya sana, nimekuwa nikifanya hivyo kila mwaka na nimeona huwa inasaidia sana,” alisema.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK