Huwezi Amini..Haki za Binadamu Wadai Taifa liko Katika Kipindi Kigumu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) umesema Taifa linapitia kipindi kigumu cha kuminywa kwa haki za binadamu.


Akizungumza leo Jumapili, Julai 16, Mratibu  wa Kitaifa wa mtandao huo, Onesmo Olengurumwa amesema tangu kuanza kwa mwaka huu kuna matukio makubwa 20 ambayo yanaminya haki za binadamu.


Amesema wakuu wa mikoa na wilaya wanakamata watu na kuwaweka mahabusu bila ya makosa.


Olengurumwa amesema hivi sasa mtu akitoa maoni anakamatwa na kufunguliwa mashtaka kitendo ambacho ni uonevu.


Amesema kufanya mikutano ambayo ni haki ya kisiasa inakatazwa bila ya kutolewa sababu za msingi.


Mratibu huyo amesema mtandao unaangalia namna ya kuchukua hatua za kisheria kuhusu uvunjaji wa haki za binadamu unaofanywa na Serikali.


   
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad