Jike Shupa, Mamisa wa Young Dee Katika Bifu zito la Kugombania Bwana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MUUZA nyago kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Zena Abdallah ‘Jike Shupa’ na mzazi mwenza wa msanii wa Bongo Fleva, David Genz ‘Young D’, Mamisa Amir, wanadaiwa kuwa kwenye bifu zito kwa madai ya kuibiana mwanaume.


Chanzo makini kilidai kuwa, Mamisa ambaye awali alipojifungua alihifadhiwa na Jike Shupa, kwa sasa ni kama paka na panya, chanzo kikielezwa ni Mamisa kumpindua mwenzake kwa mwanaume wake japokuwa wenyewe wamekuwa wakifanya siri.


Baada ya kupata ubuyu huo, Risasi Jumamosi liliwatafuta wahusika ambapo lilianza na Mamisa ambaye alisema kuwa, hana tatizo na bishosti huyo na hata akikutana naye wanasalimiana.
Kwa upande wa Jike Shupa aligoma kuweka wazi huku akijiumauma na kusema: “Hata kama tuna bifu, ninyi kinawauma nini? Niacheni bwana.”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad