VIDEO: “Wampeleke Mahakamani, Tutakutana Huko Huko” – Kibatala Baada ya Lissu Kukamatwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jana July 20 Mwanasheria, Mbunge wa CHADEMA na Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika TLS, Tundu Lissu amekamatwa akiwa Airport Dar es Salaam akielekea Rwanda kwenye mkutano wa Chama cha Mawakili wa Afrika Mashariki.

Ayo TV na millardayo.com zimempata Wakili wake Peter Kibatala na amezungumzia tukio hilo
”Mimi sijaongea naye moja kwa moja kwa sababu simu zake ni ama zimezimika au zimezimwa lakini taarifa nilizopata kutoka kwa watu wake wakiwemo ambao wamemuacha Airport muda si mrefu na wengine ninaowaamini ni yes amekamatwa na anapelekwa Central Police Station.

“Kuna Wakili mwenzangu anaelekea huko kwenda kushughulikia Haki zake za kisheria na pengine kusisitiza kwamba apelekwe Mahakamani na sisi kama ni kweli amekamatwa rai yetu ni hiyo kama wamemkamata na waliomkamata wanaamini kwamba wana tuhuma dhidi yake wakamilishe taratibu zao mapema kama inavyowezekana wampeleke Mahakamani tukakutane naye huko.” – Peter Kibatala.
VIDEO:
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Huyu tutakua nae kwa muda si chini ya siku 180 mpaka tutakapo kamilisha zoezi la upelelezi. na inaweza kuzidi hapo.

    ReplyDelete

Top Post Ad