Hatimaye Ester Bulaya Ahamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hatimaye Ester Bulaya Ahamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili
Mbunge wa Bunda, Ester Bulaya amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili  (MNH ) baada ya kufikishwa kwenye hospitali hiyo akitokea Hospitali ya Bugando, Mwanza.

Taarifa iliyotolewa leo na Ofisa Uhusiano wa Muhimbili, John Stephen ilieleza kuwa, Bulaya alifikishwa hospitalini hapo jana usiku. "Tulimpokea jana usiku,"alieleza kwa kifupi.

 Mbunge wa Kawe, Halima Mdee amethibitisha pia kulazwa mbunge huyo MNH,  "amelazwa private, Sewahaji, wodi namba 18," alisema Halima Mdee.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad