AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa iliyotolewa leo na Ofisa Uhusiano wa Muhimbili, John Stephen ilieleza kuwa, Bulaya alifikishwa hospitalini hapo jana usiku. "Tulimpokea jana usiku,"alieleza kwa kifupi.
Mbunge wa Kawe, Halima Mdee amethibitisha pia kulazwa mbunge huyo MNH, "amelazwa private, Sewahaji, wodi namba 18," alisema Halima Mdee.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK