AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Leo August 30 2017 beki wao Kieran Gibbs aliyecheza kwa mismu kumi ndani ya club ya Arsenal ameuzwa kwa pound milioni 7 kutoka Arsenal na kujiunga na West Bromwich Albion, beki huyo amejiunga na West Bromwich Albion kwa mkataba wa miaka minne.
Kieran Gibbs anaondoka Arsenal baada ya kucheza timu ya wakubwa kwa miaka kumi toka apandishwe mwaka 2007 kutoka timu za Arsenal ya vijana, Gibss hadi anaondoka Arsenal ameshinda mataji matatu ya FA, Community Shield mawili na amefunga jumla ya magoli 6 katika mechi 230 alizoichezea Arsenal.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK