Kibabu Chaguswa na Ukimya wa Ali Kiba Aamua Kumfungia Safari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kibabu Chaguswa na Ukimya wa Ali Kiba Aamua Kumfungia Safari

Mzee mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Mzee Msaka amefunga safari kutoka Wazo Hill anakoishi mpaka studio za East Africa Radio kuja kuonana na Big Chawa, kumletea malalamiko yake kuhusu Alikiba.

Mzee huyo amesema anamtaka Alikiba aachie ngoma kali ambazo zitafunika kwa mwaka huu wote, kwani ukimya wake umemchosha.
Mashabiki wa Alikiba wamekuwa wakilalamikia kwa muda mrefu kitendo cha msanii huyo kukaa kimya muda mrefu bila kutoa kazi yoyote, wakati wasanii wenzke wakiachia ngoma kila siku.
Mtazame hapa chini alivyokuwa akimlilia Alikiba


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad