Zijue Njia Rahisi za Kujua Kama we Mwanaume Una Nguvu za Kiume au Unachafua tu Wenzako Sita Kwa Sita

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


  1. Kama ukiwa umekaa mahala popote halafu akapita Mwanamke mwenye Inye Ndembendembe ( Matako / Makalio ) makubwa halafu ukimwangalia tu huyo Mwanamke Uume / Mkuyenge wako haushtuki na haudindi / hausimami jua imeshakula Kwako na sasa Wewe ni Joka la Kibisa tu.
  2. Kama ukiona umeingia tu ama Gesti / Loji au Chumbani kumbandua / kufanya Mapenzi na mwenza wako halafu hadi unavua nguo na unalala Kitandani kuanza Shughuli bado tu hujadindisha / hujasimamisha basi jua ya kwamba tayari imeshakula Kwako andika tu maumivu.
  3. Ukiona umemaliza tu mshindo wa Bao / Kupizi / Kupiga Bao halafu huyo Mwanamke unayembandua hajakukumbatia tena kwa Kukukaba kama wale Vibaka wa Mchikichini Ilala nyuma ya Kiwanda cha Bia TBL basi jua tu kwamba imeshakula Kwako na anza tu Kuungama kwa Mungu wako.
  4. Ukiona tokea umeamka asubuhi hadi usiku unaenda Kulala mnara haujasimama hata mara moja tu kivyake basi jua ya kwamba tayari imeshakula Kwako na jiandae tu Kuchapiwa na wenye nguvu zao.
  5. Kama ukiona Mwanamke / Mpenzi wako uliyenae Kwako ndiyo mwenye Sauti, Amri na ndiyo mpangaji wa kila kitu hapo huku Wewe ukiwa ni Msikilizaji tu na Kukubali jua una tatizo kubwa sana na lililotukuka mno la upungufu wa nguvu za Kiume ( mgongesha Besela ) kwani kwa Saikolojia ya Wanawake pindi akishajua Mwanaume aliyenae ni Kamilifu Kinguvu za Kiume huwa wanawaheshimu na kuwaogopa sana.

Ni hayo wadau hivyo naomba kila Mwanaume mwenzangu hapo ulipo hebu anza Kujitathmini mwenyewe na kisirisiri kutokana na hizo dalili saba ( 5 ) za hapo juu kisha mniletee mrejesho ila nimeamua tu kuwapeni hizo dalili za awali ili niwasaidieni tu msipoteze Pesa zenu kuzunguka Mahospitalini au kwa Waganga wa Kienyeji kutafuta Kiini cha tatizo hilo ambalo kwa sasa limekuwa ndiyo Kero namba moko / moja kwa Wanaume wengi nchini Tanzania.

Kila la kheri.

Nawasilisha

BY GENTAMYCINE
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ukitoa tatizo bila kutoa suluhu hujasaidia jamii. Toa ufmbuzi wa janga hili la taifa.

    ReplyDelete

Top Post Ad