AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mr Blue alifunguka hayo kupitia kipindi cha Planet bongo cha EATV wakati akiongea na mtangazaji wa kipindi hicho Dullah na kusema kuwa ndoa imemfanya kuwa kijana mwema mwenye kutambua majukumu ya ndoa na kulea familia yake na kuachana na mambo mengine ya hovyo hovyo ambayo alikuwa akiyafanya kabla ya kuoa.
Msanii huyo aliendelea kueleza kuwa wakati yupo kwenye uchumba na mkewe huyo bado alikuwa na mabinti wengine kadhaa ambao alikuwa anatoka nao kimapenzi lakini ilifika hatua aliamua kuoa na kutulia na mkewe wa ndoa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK