Muziki wa Ali Kiba ni Mzuri Zaidi ya wa Diamond- Faiza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Muziki wa Ali Kiba ni Mzuri Zaidi ya wa Diamond- Faiza
Muigizaji wa Filamu Bongo, Faiza Ally amefunguka kuupa zaidi muziki wa Alikiba kuliko ule wa Diamond.
Faiza amesema hayo katika mahojihano na TBC Fm kwa kueleza kuwa Diamond ni mburudishaji wa jumla aliyeleta mapinduzi ya kimuziki lakini Alikiba muziki wake ni bora zaidi.

“Kwanza kati ya muziki wa Diamond na Alikiba, naupenda sana muziki wa Kiba, muziki wake ni mzuri kuliko wa Diamond,” amesema Faiza na kuendelea.

“Diamond ni ile full Entertainment ukimwalia tu unatabasamu lakini Kiba ana muziki mzuri. Nikizungumzia mtu aliyeutoa muziki akaupa heshima mpaka akampa changamoto Kiba na yeye akasimama mpaka tukaanza kumuona kwenye hali ya tofauti ni Diamond,” amesema.

Ikumbukwe kuwa September 3 mwaka huu Faiza aliandika ujumbe katika mtandao wa Instagram na kueleza  kuwa kumpenda Diamond ni jambo la lazima na sio ombi kutokana na mengi mazuri aliyofayanya katika muziki wa Bongo Flava.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. KINYONGA ASOJITAMBUA HUYOO! KASHACHOKA NA MAISHA ANATAFUTA WA KUMFIA.

    ReplyDelete

Top Post Ad