AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Juzi aliponitembelea na kuingia bafuni nikashawishika kuchungulia ndani ya kipochi chake. Nikashituka baada ya kukuta vitu viwili.
1. Kikaratasi chenye unga wenye chembechembe ambazo zinaonekana ni mizizi iliyotwangwa kikiwa kimeandikwa "kuchoma".
2. Hiki kingine ambacho sijakitambua ni vijiti viwili. Kirefu na kifupi vikiwa vimeunganishwa na kamba. Kwa anayejua kuhusu hivi vijiti anisaidie uelewa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK