AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Miili hiyo imepokelewa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania na itapelekwa moja kwa moja katika Hospitali ya Lugalo na kesho September 20, 2017 itaagwa.
Watu hao walipata ajali September 17, 2017 majira ya saa 4:00 Usiku katika barabara ya Masaka, Uganda wakiwa njiani kurejea Tanzania wakiwa ni kutoka katika familia ya Naibu Waziri na Mbunge wa zamani wa Jimbo la Mpwapwa, Dodoma, Gregory Teu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK