AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Naibu Katibu wa Tume Kuu ya CPC ya Nidhamu na Ukaguzi, Yang Xiaodu akizungumza na waandishi wa habari amesema chama hicho kitaendelea kupambana na rushwa kwa nguvu zote na hakitamvumilia yeyote atakayebainika kushiriki katika rushwa.
Amesema leo Alhamisi Oktoba 19,2017 kuwa licha ya kufuatilia vitendo vya rushwa katika kona mbalimbali ikiwemo majumbani, wataendelea kuwafuatilia waliokimbilia ng’ambo na kutwaa mali walizochuma isivyo halali.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK