AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wanafunzi chuoni hapo waliamriwa ifikapo saa tatu asubuhi leo Jumanne wawe wameondoka chuoni hapo.
Uamuzi huo umefikiwa na Seneti ya chuo kutokana na suala la kiusalama.
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Umma wa chuo hicho, John Orindi amesema, "Tutatangaza ni lini chuo kitafunguliwa.”
Uamuzi huo umechukuliwa kutokana na maandamano yaliyofanyika wiki iliyopita ambayo yalisababisha wanafunzi 27 kujeruhiwa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK