AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Posti hiyo inasomeka hivi:-
#icantwait Nikiwa Kama Mkuu wa Mkoa Wa Mjini #zanzibar napenda kukukaribisha wewe mdogo wangu @diamondplatnumz pamoja na team Yako nzima katika siku ya tarehe 14/10/2017 Katika viwanja vya amani!. Ni matarajio yangu wana mkoa wa mjini magharibi wanakusubiri kwa hamu!. Confirmed diamond platinum live performance at Amani Stadium!. #kilelechamwengezanzibar #MiminaWewe #karibuninyote
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK