Duma Afunguka Kufanya Uchafu Hadharani na Irene Uwoya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MUUZA nyago kwenye muvi za Kibongo, Daud Michael ‘Duma’ juzi kati alipobanwa juu ya kufanya uchafu na muigizaji mwenziye Irene Uwoya kwenye muvi ya Bei Kali kwa kunyonyana ndimi na midomo hadharani alisema kuwa huo si uchafu bali walikuwa kazini na walitakiwa kuonesha uhalisia zaidi.


Akipiga stori na gazeti hili, Duma aliendelea kuwa muvi hiyo ni kwa ajili ya watu wazima lakini hata wandani wao, kwa upande wa kila mmoja wao yeye pamoja na Uwoya wanatakiwa kuelewa kwamba pale ni kazini na wawasamehe kwa walichokifanya.

“Kiukweli mimi sioni ubaya wa kilichofanyika pale. Sanaa ni kazi na unapokuwa kwenye scene unatakiwa kuonesha uhalisia zaidi, hicho ndicho kilichotokea na kikubwa muvi ile ni ya watu wazima,” alimaliza Duma.

Stori: UWAZI SHOWBIZ
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad