AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ikiwa Jumatatu hii ya Octoba 2, ni siku ambayo msanii huyo anasherekea siku yake ya kuzaliwa, taratibu ameanza kupata tobo, mtandao maarufu ambao unaonyesha siku ya kuzaliwa ya mastaa wakubwa duniani, Famous Birthday umempa shavu muimbaji huyo wa Hallelujah.
Mtandao huo umeonyesha kuwa Diamond amezaliwa siku moja na mastaa wengine kama Mahatma Gandhi ambaye ni kiongozi wa kukumbukwa aliyepigania uhuru wa India, Roberto Firmino (mchezaji wa Liverpool), Sting (mwanamuziki wa Rock), Kelly Ripa (mtangazaji wa runinga), Lene Nystrom (mwanamuziki wa Pop) na wengine.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK