Haji Manara: Njaa Aijamuondoa Jackson Mayanja Simba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Haji Manara: Njaa Aijamuondoa Jackson Mayanja Simba
Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara amesema kwamba taarifa ambazo zinasambazwa mitandaoni kuhusu aliyekuwa Kocha Msaidizi, Jackson Mayanja kuondoka kikosini hapo kwa sababu ya kukosa mshahara siyo za kweli.

Pia alisema tayari magazeti mawili ya michezo yamekanusha habari hizo (siyo Mwanaspoti) kutokana na kuandika habari hiyo isiyo ya kweli.

Alisema anaiomba Serikali kufuatilia mtandaoni watu wanaozusha na na kuichafua klabu hiyo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad