Imamu Ahukumiwa Kifungo cha Miaka 30 Jela kwa Kosa la Kulawiti

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Imamu Ahukumiwa Kifungo cha Miaka 30 Jela kwa Kosa la Kulawiti
Mkazi wa Gongo la Mboto, Dar es Salaam, Imamu Hassan (37) amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumlawiti mtoto wa miaka 13.

Hassan amehukumiwa kifungo hicho katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Rita Tarimo, wakati wa shauri hilo lilipoitishwa kwa ajili ya hukumu.

Hakimu Rita amesema wakati wa usikilizwaji wa shauri hilo upande wa mashitaka ulipeleka mashahidi watano ambao wamethibitisha shitaka pasi kuacha shaka.

Akipitia baadhi ya ushahidi uliotolewa mahakamani hapo, Hakimu Rita amesema mtoto huyo alikuwa anafanyiwa vitendo hivyo mara kwa mara na baadae kumpa sh. 2,000 huku akimuamuru asidhubutu kumwambia mtu yoyote.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mmmmmm Imam naye tena. Looooh!!!!!! Tumezoea kusikia wachungaji wa kondoo za bwana

    ReplyDelete

Top Post Ad