Je Wajua Hemed PhD ndiye Msanii Mwenye Watoto Wengi Tanzania?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Akihojiwa katika kipindi cha E News cha EATV Msanii wa bongo movie na bongo fleva Hemed amesema anawatoto zaidi ya sita lakini amekuwa akimpost mmoja kwenye mitandao ya kijamii

VIDEO:

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. MWANAUME MASHINE!

    ReplyDelete
  2. Wanaume wote wakifungua Zipu zao kama mashine basi kila mwanamke mwenye umri wa kuzaa. Tutazaana kama mashine. Si mnawapa sifa. Sasa Tanzania tuko mil 52. Karubu tutawafikia Nigeria Mil 186 na tutakuwa namba moja Africa, Alafu makazi yenyewe tunangaika kutwa tunajenga kiholela mwisho wa siku tunabomolewa, watoto kwashakooo, utapia mlo, Shule haba mwisho wa siku vibaka kila kona, wezi ndio usiseme au usipime, hao majambazi ya kupola mabenk ndio laaaa losalaleee!!!! Tukijua kuzaana tuwekee na mazingira mazuri ya Taifa Pia,

    ReplyDelete

Top Post Ad