Leo Mashahidi Watatu Kutoa Ushahidi Kesi ya Lulu ya Kuua Bila Kukusudia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Leo Mashahidi Watatu Kutoa Ushahidi Kesi ya Lulu ya  Kuua Bila Kukusudia
MSANII wa Filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo Ijumaa, Oktoba 20, amefika katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuendelea kusikiliza kesi inayomkabili ya kusababisha kifo cha aliyekuwa msanii mwenzake, Steven Kanumba bila kukusudia.
Jana mahakamani hapo, Mdogo wa Kanumba, Seth alitoa ushahidi wake akiieleza mahakama kwamba anachofahamu yeye ni kuwa palikuwa na mgogoro kati ya Lulu na Kanumba aliousikia ambapo Lulu alikuwa akiongea kwa simu na mwanaume mwingine hali iliyozua ugomvi huo na Kanumba.
Leo mashahidi watatu wanatarajiwa kutoa ushahidi wao kwenye kesi hiyo inayosikilizwa na Jaji Sam Rumanyika.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad