AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Simon Haule amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kusema chanzo cha moto huo ilikuwa ni hitilafu ya umeme.
"Nyumba ya Barnabas Saimoni (35) ambaye ni Msukuma anajishughulisha na kilimo mkazi wa kijiji cha Kakolo iliungua moto na kusababisha kifo cha mtoto binti aitwaye Brightness Barnabas mwenye umri wa miaka miwili" alisema Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Simon Haule.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK