Nissan Yazindua Kiti cha Gari Chenye Uwezo wa Kutambua Jasho la Binadamu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nissan Yazindua Kiti cha Gari Chenye Uwezo wa Kutambua Jasho la Binadamu
Nissan imeuzindua kiti cha gari chenye uwezo wa katambua jasho la binadamu ambacho kampuni hiyo inasema kuwa kitasaidia kupunguza ajali za barabarani.
Teknolojia hiyo inayojulikana kama Soak, hubadlisha rangi ikiwa itatambua kuwa dereva atakuwa ameishiwa maji mwilini.
Utafiti wa walia uliofanywa na taasisi za European Hydration Institute na Loughborough University uligundua kuwa madereva wanaoishiwa na maji mwilini huwa na makosa mengi sawa na madereva walevi.
Nissan yaunda magari mapya yanayotumia umeme
China katika mipango ya kupiga marufuku magari yanayotumia mafuta
Ngozi hiyo ya kiti iliyoundwa na kampuni moja nchini Uholanzi pia itawekwa kwenye usukani wa gari na viti vya mbele vya gari .
"Hii ni sehemu ya mpango mzima ambao sio tu wa kufuatilia tu gari bali pia dereva." alisema Prof Peter Wells.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad