AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Polisi sasa wanachunuza mashambulizi kwenye nyumba za Bobi Wine ambaye jina lake kamili ni Robert Kyagulanyi, anayewakilisha eneo la Kyaddondo West na Allan Ssewanya ambaye ni mbunge wa Makindye West.
Mashambulizi hayo yalifanyika mapema Jumanne.
Wiki iliyopita shambulizi liliripotiwa kwenye nyumba na mbunge mwingine Moses Kasibante ambaye ni mbunge wa Rubaga North.
Wabunge watwangana makonde Uganda
Mwanamuziki Bobi Wine akamatwa Uganda
Kwenye ujumbe kupitia mtandao wa Facebook, Bobi Wine alisema kuwa hakuna mtu aliyejeruhiwa nyumbani kwake
Amesema amekuwa akipokea vitisho vya kuuliwa karibu kila siku.
Gazeti la New Vision lilisema kuwa wabunge ambao nyumba zao zilishambuliwa ni badhi ya wale waliotimuliwa bungeni kufuatia ghasia wakati wa mijadala kuhusu kuondolewa kwa umri wa kuwania urais.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK