google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Rais Paul Biya Alaani Vurugu, Cameroon | UDAKU SPECIAL

Rais Paul Biya Alaani Vurugu, Cameroon

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais Paul Biya Alaani Vurugu, Cameroon
Rais wa Cameroon, Paul Biya amelaani ghasia zilizotekelezwa na pande zote baada ya polisi kuwapiga risasi na kuwauwa watu nane wakati wa maandamano ya raia wa nchi hiyo wanaozuungumza kiingereza wanaotaka kujitenga kuwa na eneo lao.Watu wanane wamejeruhiwa katika ghasia hizo.
Ghasia hizo zimetokea wakati wa maadhimisho ya miaka miaka hamsini na sita tangu kujumuishwa kwa jimbo la wazungumzaji wa kiingereza ndani ya Cameroon.
Wazungumzaji wa lugha ya Kiingereza ambao ni wachache wamekuwa wakiandamana takriban mwaka sasa kwa kile wanachosema kubaguliwa katika mfumo wa elimu na sheria.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad