AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kumekuwa na maneno mengi kwenye mitandao kuhusiana na ndoa ya Zamaradi Mketema, mama wa watoto wangu Russell (Juhjuh) na Shubi. Taarifa ya ndoa nilikuwa nayo na namtakia kila LA heri kwenye safari yake mpya. Pamoja na kuheshimu Uhuru wa vyombo vya
habari natoa ufafanuzi huu ili kulinda maslahi ya watoto wetu ambao wanachohitaji ni amani na furaha ya wazazi wao.
#sinasocialmediaaccount
Ruge Mutahaba.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK