AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Moto huo ulizuka mwendo wa saa tisa usiku.
Ijumaa asubuhi, baada ya moto huo uliowaka kwa saa kadha kuzimwa, wachuuzi walikuwa wakichakura kutafuta bidhaa ambazo hazikuungua moto.
Soko la Gikomba ni miongoni mwa masoko makubwa zaidi Afrika Mashariki.
Wengi wa wachuuzi huuza nguo na bidhaa nyingine za mitumba.
Mmoja wa wachuuzi amemwambia mwandishi wa BBC Ferdinand Omondi kwamba amepoteza marobota 250 ya nguo ya thamani ya karibu dola 23,000 za Marekani (Ksh2.3m).
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK