Soko la Gikomba, Nchini Kenya Lateketea kwa Moto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 Soko la Gikomba, Nchini Kenya Lateketea kwa Moto
Mali ya thamani ya mamilioni ya pesa imeteketea baada ya moto kuzuka katika soko kuu la wazi nchini kenya, soko la Gikomba jijini Nairobi.
Moto huo ulizuka mwendo wa saa tisa usiku.


Ijumaa asubuhi, baada ya moto huo uliowaka kwa saa kadha kuzimwa, wachuuzi walikuwa wakichakura kutafuta bidhaa ambazo hazikuungua moto.
Soko la Gikomba ni miongoni mwa masoko makubwa zaidi Afrika Mashariki.
Wengi wa wachuuzi huuza nguo na bidhaa nyingine za mitumba.
Mmoja wa wachuuzi amemwambia mwandishi wa BBC Ferdinand Omondi kwamba amepoteza marobota 250 ya nguo ya thamani ya karibu dola 23,000 za Marekani (Ksh2.3m).

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad