AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tunda alishangaza umma kwa ku-komenti kwenye picha ya Young D, na kumtolea kauli hiyo, na kuwaacha mashabiki njia panda huku wakijiuliza wawili hao wanadaiana nini? Na je hicho wanachodaiana walipeana lini na wapi? Wakati inasemekana kuwa walishapigana kibuti muda mrefu.
Wengine wakaenda mbali zaidi na kusema kuwa Tunda na Young D, hawawezi kuachana kwani wanapendana sana, huku wengine wakimtupia lawama Mbongo Fleva huyo kuwa kwa sasa amekuwa mpenda kiki sana, kwani juzi tu alikuwa na ugomvi na Amber Lulu, kisa picha zao za utupu leo tena Tunda! Kwa hiyo inawezekana kuwa ni kiki tu ya ku-promote ngoma yake mpya ya Kiutani Utani.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK