Tunda Aliamsha Dude Amuumbua Young Dee Hadharani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tunda Aliamsha Dude Amuumbua Young Dee Hadharani
‘Couple’ ambayo haieleweki kama imeachana au Lah! Ni ya Hit Maker wa ngoma ya Kiutani Utani, David Genz ‘Young D’ na muuza nyago kunako video za wasanii, Tunda Sebastian, ambao hivi karibuni wamezua gumzo mitandaoni kufuatia kauli ya Tunda, aliyoahidi kuwa atamdhalilisha Mbongo Fleva huyo, kisa mzigo wake anaomdai.
Tunda alishangaza umma kwa ku-komenti kwenye picha ya Young D, na kumtolea kauli hiyo, na kuwaacha mashabiki njia panda huku wakijiuliza wawili hao wanadaiana nini? Na je hicho wanachodaiana walipeana lini na wapi? Wakati inasemekana kuwa walishapigana kibuti muda mrefu.

Wengine wakaenda mbali zaidi na kusema kuwa Tunda na Young D, hawawezi kuachana kwani wanapendana sana, huku wengine wakimtupia lawama Mbongo Fleva huyo kuwa kwa sasa amekuwa mpenda kiki sana, kwani juzi tu alikuwa na ugomvi na Amber Lulu, kisa picha zao za utupu leo tena Tunda! Kwa hiyo inawezekana kuwa ni kiki tu ya ku-promote ngoma yake mpya ya Kiutani Utani.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad