AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wema alifikia hatua ya kuandika ujumbe wa kukanusha skendo hiyo, baada ya hivi karibuni kuenea kwa ubuyu kuwa yeye na Mbongo Fleva huyo wamerudiana tena, anadiriki hadi kwenda kwake kupika, jambo ambalo lilimchanganya na kuamua kulitolea ufafanuzi.
Wema na X-wake huyo, waliwahi kuwa ‘Couple’ ambayo ilitikisa jiji, baadaye wakamwagana na kisha X-wake huyo kujiingiza kwenye ulimwengu wa huba na mfanyabiashara maarufu, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss lady’ ambapo amezaa naye watoto wawili, lakini pia ni baba wa mtoto wa mwanamitindo Hamisa Mobeto anayeitwa Prince Abdul.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK