Wema Sepetu Afunguka Kurudiana na Daimond Asema 'Sijawahi Kufikiria Kurudisha Moyo Wangu'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wema Sepetu Afunguka Kurudiana na Daimond Asema 'Sijawahi Kufikiria Kurudisha Moyo Wangu'
MUIGIZAJI mwenye nyota ya kipekee Bongo, Wema Sepetu ‘Keki ya Taifa’, amekanusha ishu ya inayovuma mitandaoni kuwa anatamani kurudiana na X-wake ambaye ni Mbongo Fleva, kwa kusema hawezi kamwe kurudiana naye kwani mpenzi wake wa sasa anampa furaha ya kutosha.
Wema alifikia hatua ya kuandika ujumbe wa kukanusha skendo hiyo, baada ya hivi karibuni kuenea kwa ubuyu kuwa yeye na Mbongo Fleva huyo wamerudiana tena, anadiriki hadi kwenda kwake kupika, jambo ambalo lilimchanganya na kuamua kulitolea ufafanuzi.

Wema na X-wake huyo, waliwahi kuwa ‘Couple’ ambayo ilitikisa jiji, baadaye wakamwagana na kisha X-wake huyo kujiingiza kwenye ulimwengu wa huba na mfanyabiashara maarufu, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss lady’ ambapo amezaa naye watoto wawili, lakini pia ni baba wa mtoto wa mwanamitindo Hamisa Mobeto anayeitwa Prince Abdul.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad