AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo wa ngoma ‘Sauda’ amesema hapana hilo halipo ni Mwenyenzi Mungu tu kamjalia Aslay kipaji na mtunzi mzuri kitu ambacho hata yeye anakipenda.
“Unajua yote hiyo kwa sababu hakutaka promo kuwa kigezo chake kikubwa sana kwa hiyo akatumia kwa kuwepo nafasi hii anaweza akafanya vitu vingi sana, kwa hiyo anafanya kile kitu alichonacho” Bella ameiambia E Fm.
Tangu kusambaratika kwa kundi la Yamoto Band Aslay ametoa ngoma nyingin zaidi ukilinganisha na wasanii wenzake waliokuwa wakiunda kundi hilo (Bella, Beka na Maromboso).
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK