Nitarudi kwa Kishindo Kwenye Gemu Ila si kwa Kiki za Dogo Janja na Iren Uwoya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nitarudi kwa Kishindo Kwenye Gemu Ila si kwa Kiki za Dogo Janja na Iren Uwoya
 Msanii wa Bongo Fleva, Khadija Shabani ‘Keisha’ amefunguka kuwa, anatarajia kurudi kwa kishindo kwenye gemu ila ujio wake hauna uhusiano na kusambaa kwa picha za ndoa ya msanii Dogo Janja ‘Janjaro’ na Irene Uwoya.

Akipiga stori na Full Shangwe Keisha alisema, anatarajia kurudi kwa kishindo hivi punde kwenye gemu lakini kazi yake haina uhusiano wowote na kusambaa kwa picha za harusi ya Dogo Janja na Uwoya bali watu wanamzushia tu. “Ni kweli narudi kwenye muziki lakini ujio wangu hauna uhusiano kwa namna yoyote ile na kusambaa kwa picha za harusi za Janjaro na Uwoya.

Mimi ni Muislamu safi, kamwe nisingeweza kukubali kuhusisha mambo matakatifu ya dini na vitu vya kidunia, watu waache kuzusha kuwa ni maandalizi ya video yangu mpya,”alisema.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad