AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hayo yamezungumzwa na Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Angelina Mabula wakati akijibu swali la Mbunge Halima Bulembo aliyehoji
Je, ni lini sasa serikali itafuta utaratibu wakulipa kodi kwa miezi 6 au mwaka na sisi kama bunge tutunge sheria itakayo walazimisha wamiliki wote kupokea kodi ya kila mwezi badala ya mwaka au miezi sita kama ilivyo sasa?
“Naomba nimtaarifu Mhe. Mbunge pamoja na wabunge wizara tayari imekwisha liona hilo, na tayari tuko kwenye mchakato wa kuanzisha mamlaka itakayo simamia masuala yote ya nyumba na katika sheria, na hiyo sheria italetwa hapa bungeni. Tumeangalia suala la ukomo wa kutoa kodi za nyumba hiyo ya miezi sita na mwaka mmoja haita kuwepo,amesema Mabula.
“Tumeona inaumiza watu wengi kwahiyo kodi itakuwa inalipwa kwa mwezi mmoja mmoja na wakati huo huo utatakiwa kuweka kama amana ya miezi mitatu kwaajili ya shughuli zingine ambazo zinaweza kuwa, kwahiyo suala hilo limelisikia na tunalifanyia kazi ,” amesema Mabula.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK