Alichoandika Joti, Diamond na Idriss Baada ya Rais Magufuli Kutoa Msamaha kwa Babu Seya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Alichoandika Joti, Diamond na Idriss Baada   ya Rais Magufuli Kutoa Msamaha kwa Babu  Seya
Baada ya kauli ya Rais JPM aliyoitoa leo December 09, 2017 kuhusu kuwapa uhuru waimbaji wawili wa muziki wa muziki wa dansi nchini ambao ni Babu Seya na mwanae Papii Kocha baada ya kuwa gerezani kwa miaka 13 sasa, Mastaa wengine wamendika haya kwenye Instagram page zao.

Mastaa hao ni pamoja na Diamond Platnumz ambaye yeye ameandika….>>>“MORE THAN A PRESIDENT…..TANZANIA IS SO LUCKY TO HAVE YOU…..HAPPY INDEPENDENCE DAY TO ALL MY FELLOW TANZANIANS..!!!” – DIAMOND PLATNUMZ



Idriss Sultan na yeye kwa upande wake kupitia Instagram Page yake ameandika….>>>“Uhuru ni kama daftari lisilo na maandishi, babu zetu walipigania daftari hilo na wakatupa tuendelee kulitunza na kuandika historia zetu, kwa ukweli uliopo ni kwamba kuna baadhi wanaojiita wazawa ila ni wasaliti na tunauza page moja moja ya daftari hilo kwa wale tuliopigana waturudishie daftari letu. Ningependa kuwapongeza wazalendo wa kweli kwa kuhakikisha wanalinda daftari letu kwa miaka 56. Mungu ibariki hii nchi nzuri sana. Hatuwezi kuwa na vyote na bado tukawa nchi yenye majonzi duniani. Tuangalie tulipotoka na tushukuru tumefika pamoja kwa amani. Naomba ibaki hivyo na kila mmoja wetu ana kipisi chake cha hii nchi basi ajue atakifanyia nini. God bless 🇹🇿 🖤 #TanzaniaIndependece #UhuruTanzania” – IDRISS SULTAN

Mchekeshaji Joti naye aliposti video akiimba wimbo wa Seya na kuandika..>>>” Hakika Mungu huwa hasinzii,Mungu ni hakimu wa kweli,Nasema usikate tamaa kama bado unapumua…karibuni Papii kocha & Nguza kitaani tupige kazi..💪Asante JPM umenifurahisha sana naomba unitafute nina zawadi yako🎁🎁🤣🤣🤣👏👏 “ JOTI





-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad