Maneno ya Bushoke Baada ya Kuachiwa Kwa Babu Seya na Mwanaye "Sioni wa kum-replace Magufuli Ametimiza Ndoto Zangu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Maneno ya Bushoke Baada ya Kuachiwa Kwa Babu Seya na Mwanaye "Sioni wa kum-replace Magufuli Ametimiza Ndoto Zangu"

Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye ni rafiki kipenzi wa Papii Kocha mfalme mtoto wa Babu Seya, Bushoke Rutta, ameelezea furaha yake baada ya kusikia rafiki yake huyo ameachiwa kwa msamaha wa Rais, na kwamba ametimiza ndoto zao.

Akizungumza na mwandishi wa East Africa Television, Bushoke amesema furaha aliyonayo hailezeki kwa alichokifanya Rais na haoni wa kuchukua nafasi yake, kwani alichokifanya ni kitendo cha huruma na upendo wa hali ya juu, kwa kutimiza tumaini ambalo walikuwa nalo rafiki zake hao vipenzi.
Bushoke ameendeleea kusema kwamba hivi karibuni rafiki yake huyo alimsikia akisema ana imani Rais wa sasa atawaonea huruma na kuwaacha huru, hata isingekuwa leo basi ingekuwa siku yoyote lakini waliamini hawatafikwa na umauti wakiwa jela.
Akiendelea kusimulia furaha yake Bushoke amesema aliposikia Rais anatangaza kumsamehe Babu Seya na familia yake, mwili ulimsisimka huku asiamini nachokisikia.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mungu amjalie magufuli

    ReplyDelete
  2. Du kwa hyo mnaunga mkono watoto kulawitiwa

    ReplyDelete
  3. Du kwa hyo mnaunga mkono watoto kulawitiwa

    ReplyDelete
    Replies
    1. mr mude, you must be primitive numb our presdent is not stupid like you

      Delete

Top Post Ad