Marekani Yamuonya Odinga Kuhusu Mpango Wake wa Kuapishwa Kuwa Rais

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Marekani Yamuonya Odinga Kuhusu Mpango Wake wa Kuapishwa Kuwa Rais
Marekani imemtaka kiongozi wa upinzani nchini kenya Raila Odinga kuacha mpango wake wa kuapishwa kama raisi wan nchi hiyo wiki ijayo.
Odinga aliwasilisha Malalamiko juu ya mapungufu katika uchaguzi mkuu uliopita na kusababisha uchaguzi wa marudio ambapo Uhuru Kenyata alishinda kwa kura nyingi.
Msaidizi wa katibu wa masuala ya Afrika Marekani , Donald Yamamoto ambae ametembelea nchini kenya.

Ametaka majadiliano ya pande zote mbili kati ya upinzani na serikali ilioko madarakani.
Baadhi ya viongozi wa serikali wameonya kuwa tukio hilo la kuapishwa linaweza kuhusishwa na uhaini.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mbona Mnatuchanganya....

    Kichwa cha Habari
    'Marekani Yamuonya Odinga Kuhusu Mpango Wake wa Kuapishwa Kuwa Rais"

    Habari yenyewe

    Msaidizi wa katibu wa masuala ya Afrika Marekani , Donald Yamamoto ambae ametembelea nchini kenya.
    Ametaka majadiliano ya pande zote mbili kati ya upinzani na serikali ilioko madarakani.

    Sasa ndio tuelewe nini....!!!!

    ReplyDelete

Top Post Ad