AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Odinga aliwasilisha Malalamiko juu ya mapungufu katika uchaguzi mkuu uliopita na kusababisha uchaguzi wa marudio ambapo Uhuru Kenyata alishinda kwa kura nyingi.
Msaidizi wa katibu wa masuala ya Afrika Marekani , Donald Yamamoto ambae ametembelea nchini kenya.
Ametaka majadiliano ya pande zote mbili kati ya upinzani na serikali ilioko madarakani.
Baadhi ya viongozi wa serikali wameonya kuwa tukio hilo la kuapishwa linaweza kuhusishwa na uhaini.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mbona Mnatuchanganya....
ReplyDeleteKichwa cha Habari
'Marekani Yamuonya Odinga Kuhusu Mpango Wake wa Kuapishwa Kuwa Rais"
Habari yenyewe
Msaidizi wa katibu wa masuala ya Afrika Marekani , Donald Yamamoto ambae ametembelea nchini kenya.
Ametaka majadiliano ya pande zote mbili kati ya upinzani na serikali ilioko madarakani.
Sasa ndio tuelewe nini....!!!!