AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
CCM imemsimamisha Monko Joseph kugombea jimbo la Singida Kaskazini ambalo liliachwa wazi na aliyekuwa mwanachama wao Lazaro Nyalandu.
Majina mengine ni Damas Ndumbaro jimbo la Songea Mjini, na Stephen Kiruswa jimbo la Longido.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu na Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Ndg Humphrey Polepole ameeleza kuwa wagombea hao kuanzia Kesho Desemba 16 wataanza kwenda kuchukua fomu NEC tayari kwa kujiandaa kwa uchaguzi mdogo.
Soma zaidi taarifa iliyotolewa na CCM;
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK