AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zari na Hamisa wamekuwa wakiripotiwa kutoelewana na kurushiana vijembe katika mtandao tangu Hamisa alipozaa na Diamond wakati akijua fika Zari na muimbaji huyo wa WCB bado ni wapenzi.
Sasa Hamisa na Zari si kwamba wanaviambiana tu kwenye mitandao, bifu lao limeenda mbali zaidi lakini katika njia ambayo ni nzuri.
Wakati Zari akitarajia kufanya event yake ya Zari All White Party nchini Uganda nyumbani kwao December 21 mwaka huu, siku hiyo hiyo Hamisa naye ameenda event yake.
Hata hivyo utakumbuka si mara ya kwanza kwa Zari kufanya party kama hiyo nchini Uganda na hata Tanzania ameshafanya hivyo lakini kwa Hamisa ni tofauti kitu ambacho ninatafsiriwa kama bado wanazidizi kuonyeshana umwamba.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK