AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya Diamond kuonesha mjengo wake mpya dalali aliyefanikisha mjengo huo kupatikana ambapo ametaja gharama za mjengo huo na jinsi ilivyokuwa mpaka Diamond Platnumz akainunua na kusema kuwa kabla ya Diamond kununua nyumba hiyo alimuonesha sample ya nyumba kumi ndipo akaichagua hiyo.
Dalali huyo anayefahamika kwa jina la Skoba maarufu kama Dalali Mwanamke amesema kwamba nyumba hiyo Diamond alinunua kwa gharama za Tsh Billion moja na anategemea kuzindua rasmi radio yake na Tv katika mjengo huo February 2, 2018.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK