Dalali Aliyemuuzia Nyumba Diamond Afunguka Kila Kitu Kuhusu Mjengo Huo Mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Dalali Aliyemuuzia Nyumba Diamond Afunguka Kila Kitu Kuhusu Mjengo Huo Mpya
Baada ya Diamond kuonesha mjengo wake mpya  dalali aliyefanikisha mjengo huo kupatikana ambapo ametaja gharama za mjengo huo na jinsi ilivyokuwa mpaka Diamond Platnumz akainunua na kusema kuwa kabla ya Diamond kununua nyumba hiyo alimuonesha sample ya nyumba kumi ndipo akaichagua hiyo.

Dalali huyo anayefahamika kwa jina la Skoba maarufu kama Dalali Mwanamke amesema kwamba nyumba hiyo Diamond alinunua kwa gharama za Tsh Billion moja na anategemea kuzindua rasmi radio yake na Tv katika mjengo huo February 2, 2018.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad