AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Pacha hao wanaosoma Chuo Kikuu cha Katoliki cha Ruaha (Rucu), wanaendelea kupatiwa matibabu ya moyo kwenye Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI).
Maria na Consolata walifikishwa JKCI wakitokea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa, walikokuwa wamelazwa tangu Desemba 28, 2017.
Katika ujumbe wao walioutuma jana jioni Februari 23, 2018, pacha hao wamesema wanahitaji maombi zaidi wakati huu wanapotarajia kufanyiwa uchunguzi nchini Afrika Kusini.
“Jamani ni sisi Maria na Consolata tunaomba sala zenu maana tunatarajia kwenda Afrika Kusini kwa ajili ya uchunguzi zaidi ila kwa sasa tuko Dar es Salaam. Tarehe tutajuzana. Tunahitaji sala zenu,” waliandika.
Maria na Consolata hutumia simu moja katika mawasiliano.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK