Tatoo ya Neymar Yaibua Maswali Mengi kwa Mashabiki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tatoo ya Mess Yaibua Maswali Mengi kwa Mashabiki
Wakati Real Madrid kesho inaivaa PSG katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, mshambuliaji wake nyota, Neymar ameongeza tatuu nyingine.

Wakati Neymar anarejea Hispania kwa ajili ya mechi hiyo, ameamua kuongeza tatuu ya Kombe la Ligi ya Mabingwa Ulaya.


Neymar ameongeza mchoro huo mguuni akionyesha ameipania mechi hiyo na ana imani wataivuka Madrid na kusonga mbele.

Mshambulizi huyo alijiunga na PSG akitokea FC Barcelona kwa dau la pauni milioni 198 na kuweka rekodi mpya ya usajili.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad